WAZIRI NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NIGERIA NCHINI

 





Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Balozi wa Nigeria nchini Tanzania Mhe. Hamisu Umar Takalamawa. Aidha, mazungumzo hayo pia yamehudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu pamoja na wataalam kutoka Ubalozi wa Nigeria.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA