WAZIRI NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NIGERIA NCHINI
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Balozi wa Nigeria nchini Tanzania Mhe. Hamisu Umar Takalamawa. Aidha, mazungumzo hayo pia yamehudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu pamoja na wataalam kutoka Ubalozi wa Nigeria.
Comments
Post a Comment