WAZIRI NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NIGERIA NCHINI

 





Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Balozi wa Nigeria nchini Tanzania Mhe. Hamisu Umar Takalamawa. Aidha, mazungumzo hayo pia yamehudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu pamoja na wataalam kutoka Ubalozi wa Nigeria.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA