WAZIRI NDUMBARO AKUTANA NA DKT. BAERBEL
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ushirikiano wa kiuchumi na Maendeleo wa Serikali ya Ujerumani Mhe. Dkt. Baerbel Kofler. Mazungumzo hayo yamehudhuriwa pia na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu pamoja na wataalam kutoka Ubalozi wa Ujerumani.
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa kiuchumi na Maendeleo wa Serikali ya Ujerumani Mhe. Dkt. Baerbel Kofler akifafanua jambo.
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa kiuchumi na Maendeleo wa Serikali ya Ujerumani Mhe. Dkt. Baerbel Kofler akifafanua jambo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ushirikiano wa kiuchumi na Maendeleo wa Serikali ya Ujerumani Mhe. Dkt. Baerbel Kofler (hayupo pichani).
Comments
Post a Comment