DKT NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI TANZANIA NA MWAKILISHI MKAZI WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LINALOSHUGHULIKIA WATOTO NCHINI (UNICEF)


                                             



XXXXXXXXXXX

Mhe. Dkt Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Ndg. Zlatan Milisic na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Watoto nchini (UNICEF) Jijini Dodoma leo tarehe 26 Oktoba, 2022.

 

Katika mazungumzo hayo yaliyohudhuriwa pia na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu wamejadili masuala mbalimbali yahusuyo ushirikiano baina ya Mashirika hayo na Wizara katika masuala ya Haki za Binadamu ikiwemo haki za Watoto, Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu na mchakato unaoendelea kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Ndoa.

 


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA