MAELEKEZO YA RAIS SAMIA YAANZA KUTEKELEZWA NA WIZARA
XXXXXXXXXXXX
Wataalam wa Wizara ya Katiba na Sheria waanza kutekeleza
maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kupitia sheria za usuluhishi wa migogoro
ya uwekezaji. Maagizo hayo yalitolewa na Rais Samia katika Mkutano Mkuu wa
Mawakili wa Serikali uliofanyika mwishoni mwa mwezi Septemba, 2022 jijini
Dodoma.
Rais Samia alitoa maagizo hayo kutokana na malalamiko mengi
kutoka kwa wawekezaji namna migogoro ya uwekezaji inapotokea na
inavyosuluhishwa na kuonekana kupendelea upande mmoja.
Comments
Post a Comment