KIKAO KAZI
XXXXXXXXXXXXX
Wataalam kutoka Wizara ya Katiba na sheria na Taasisi zilizo
chini yake wakutana mjini Morogoro kwa kikao kazi cha siku tano kuanzia Novemba
22 hadi 26, 2022 kuandaa vipaumbele vya Wizara kwa bajeti ya mwaka wa fedha
2023/2024. Pia katika kikao hicho watajadiliana kuhusu maandalizi ya
kuanza Kwa awamu ya pili ya Maboresho ya Sekta ya Sheria kwa kuzingatia
mapendekezo yaliyotolewa na Mtaalam Mwelekezi alipofanya utafiti juu ya
changamoto zinazoikabili sekta ya sheria.
Comments
Post a Comment