Mhe. Pauline Gekul amewataka waajiriwa wapya kuwa na uweledi


 

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul amewataka waajiriwa wapya kuwa na uweledi, kuepuka vitendo vya ukiukaji wa maadili ya kazi pamoja na kuepuka rushwa, uonevu na matumizi mabaya ya ajira zao. Mhe. Gekul aliyasema hayo alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya kufunga mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, yaliyofanyika Mkoani Morogoro, Hoteli ya Kingsway kuanzia tarehe 17-23 Machi, 2023.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA