Mhe. Pauline Gekul amewataka waajiriwa wapya kuwa na uweledi


 

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul amewataka waajiriwa wapya kuwa na uweledi, kuepuka vitendo vya ukiukaji wa maadili ya kazi pamoja na kuepuka rushwa, uonevu na matumizi mabaya ya ajira zao. Mhe. Gekul aliyasema hayo alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya kufunga mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, yaliyofanyika Mkoani Morogoro, Hoteli ya Kingsway kuanzia tarehe 17-23 Machi, 2023.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA