Wizara ya Katiba na Sheria yafanya Kongamano la Kitaifa la Sheria ya Ndoa
Mgeni Rasmi kwenye Kongamano la Kitaifa la Sheria ya Ndoa, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria katika picha ya pamoja na baadhi ya Waheshimiwa Wabunge walioshiriki kwenye kongamano hilo lililofanyika tarehe 26 Aprili, 2023 Jijini Dodoma.
Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kimila walioshiriki kwenye kongamano hilo lililofanyika tarehe 26 Aprili, 2023 Jijini Dodoma.
Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria katika picha ya pamoja na Viongozi wa Dini walioshiriki kwenye kongamano hilo lililofanyika tarehe 26 Aprili, 2023 Jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment