Wizara ya Katiba na Sheria yafanya Kongamano la Kitaifa la Sheria ya Ndoa


 

Mgeni Rasmi kwenye Kongamano la Kitaifa la Sheria ya Ndoa, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria katika picha ya pamoja na baadhi ya Waheshimiwa Wabunge walioshiriki kwenye kongamano hilo lililofanyika tarehe 26 Aprili, 2023 Jijini Dodoma.



Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kimila walioshiriki kwenye kongamano hilo lililofanyika tarehe 26 Aprili, 2023 Jijini Dodoma.



Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Waziri wa Katiba na Sheria katika picha ya pamoja na Viongozi wa Dini walioshiriki kwenye kongamano hilo lililofanyika tarehe 26 Aprili, 2023 Jijini Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA