DKT NDUMBARO ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA
Mheshimiwa Dkt.Damas Ndumbaro,Waziri wa Katiba
na Sheria ameshiriki Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala,Katiba na
Sheria wakati Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.Jaji Dkt.Eliezer Mbuki Feleshi
akiwasilisha Majibu ya Hoja Mbali Mbali zilizoibuliwa wakati wakiwasilisha
Muswada wa Sheria wa Marekebisho ya Sheria Mbali Mbali Jijini Dodoma.Kikao
hicho kimehudhuriwa na Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya
Habari,Mhe.Nape Nnauye.
Comments
Post a Comment