DKT NDUMBARO ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA

Mheshimiwa Dkt.Damas Ndumbaro,Waziri wa Katiba na Sheria ameshiriki Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala,Katiba na Sheria wakati Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.Jaji Dkt.Eliezer Mbuki Feleshi akiwasilisha Majibu ya Hoja Mbali Mbali zilizoibuliwa wakati wakiwasilisha Muswada wa Sheria wa Marekebisho ya Sheria Mbali Mbali Jijini Dodoma.Kikao hicho kimehudhuriwa na Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Mhe.Nape Nnauye. 


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA