NDUMBARO AFANYA ZIARA MALINYI
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt damasi Ndumbaro akiwa na wafanakazi wa Malinyi Paralegal unity alipotembelea ofisini Malinyi wilaya ya Malinyi Mkoa wa Morogoro.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Malinyi iliyopo Mkoa wa Morogoro kwa lengo la Kutembelea Wasaidizi wa Kisheria ambapo tarehe 12/08/2023 alitembelea ofisi ya Wasaidizi wa Kisheria Malinyi (Malinyi Para Legal Unity) na kukutana na uongozi Kituo hicho ambacho kimekua na msaada mkubwa katika Wilaya hiyo yenye migogoro ya wakulima na wafugaji.
Katika ziara hiyo, Mhe. Ndumbaro akimbatana na Mkuu wa Wilaya ya Malinyi
bwana Sebastian Waryuba na uongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya
Malinyi Mkoani Morogoro wamejadili namna ya kushighulikia masuala mbali mbali
ya upatikaji haki Wilayani hapo.
Comments
Post a Comment