DKT PINDI CHANA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara
Chana, Waziri wa Katiba na Sheria na baadhi ya Viongozi wa Wizara kwenye picha
ya pamoja na ujumbe wa Benki ya Dunia baada ya kufanya nao mazungumzo juu ya
ushirikiano katika kuendeleza sekta ya sheria nchini, tarehe 20/09/2023 kwenye
ofisi za RITA Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana, Waziri wa Katiba na Sheria alipokutana na ujumbe wa Benki ya Dunia tarehe 20/09/2023 Jijini Dar es Salaam kwenye ofisi za RITA na kuzungumza juu ya ushirikiano katika kuendeleza sekta ya sheria nchini.
Comments
Post a Comment