CHANA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MASHUJAA WA VITA YA KWANZA YA DUNIA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt Pindi Chana , Balozi Wa Uingerza nchini David Concar na Balozi wa Ujerumani Nchini Wakitoa heshima zao kwenye moja ya kaburi la mashujaa waliotoa uhai wao kwenye vita ya kwanza ya Dunia.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt Pindi Chana , Balozi Wa Uingerza nchini David Concar na Balozi wa Ujerumani Nchini Wakitoa heshima zao kwenye moja ya kaburi la mashujaa waliotoa uhai wao kwenye vita ya kwanza ya Dunia
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Na Lusajo Mwakabuku -
WKS DSM
Waziri wa Katiba n Sheria
Mhe.Balozi Dkt Pindi Chana Leo 12/11/2023 ameshiriki Ibada ya maadhimisho ya
siku ya Mashujaa waliopoteza maisha wakati wa vita ya kwanza ya Dunia
iliyofanyika kwenye makaburi ya Jumuiya ya Madola Kijitonyama Jijini Dar es
salaam.
Akizungumza katika maadhimisho
hayo yaliyoandaliwa kwa ushirikiano baina ya Ubalozi wa Uingereza na Ubalozi wa
Ujerumani Waziri Chana amesisitiza kuwa Tanzania itaendelea kuhamasisha Jamii na Nchi mbalimbali kuitunza
na kudumisha Amani.
Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa
Duniani hufanyika kila jumapili ya kwanza baada ya November 12 kila mwaka kwa
lengo la kuwakumbuka na kuwaombea na kuwakumbuka mashujaa waliopoteza maisha
kwenye vita ya kwanza ya Dunia.
Comments
Post a Comment