MHE CHANA AFANYA KIKAO NA MENEJIMENTI YA WIZARA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Pindi Chana akiongea na menejimenti kwenye kikao kilichofanyika Mtumba, leo tarehe 16 Novemba 2023 jijini Dodoma.
Menejimenti ya
Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa kwenye kikao cha utekelezaji wa majukumu
ya Wizara leo tarehe 16 Novemba 2023. Mtumba jijini Dodoma.
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Na,
George Mwakyembe - WKS – Dodoma
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amekutana na kufanya kikao na Menejimenti ya Wizara pamoja na watalaam wa sheria kujadili mambo mbalimbali yakiwemo utekelezaji wa mapendekezo ya haki jinai kwa Wizara ya katiba na Sheria pamoja na wasilisho la kutungwa kwa sheria ya kupinga ukatili wa kijinsia yam waka 2023.
Kikao hicho ambacho kimefanyika leo tarehe 16
Novemba, 2023 katika ofisi za Wizara Mtumba jijini Dodoma, Mhe. Chana
amesisitiza watumishi kuhakikisha utekelezajiwa majukumu yaliyoamuliwa yanafanyika
kwa ubunifu huku wakizingatia muda.
Comments
Post a Comment