DKT. CHANA APOKEA CHETI CHA HESHIMA KUTOKA TAASISI YA KUPINGA RUSHWA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt Pindi Chana
atunukiwa tuzo kutoka kwenye Taasisi ya Anti Corruptions Voices Foundations
kwenye kilele cha Maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu tarehe 10
Desemba, 2023 Jijini Dodoma.
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana
amepokea cheti cha heshima kutoka Taasisi ya Kupinga Rushwa (Anti Corruptions
Voices Foundations) alichotunukiwa kutokana na kuwa Mgeni Rasmi katika mbio za
“Sepesha Rushwa Marathon.” Balozi Chana amekabidhiwa cheti hicho tarehe 10
Desemba, 2023 wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu.
Comments
Post a Comment