WAZIRI CHANA ASHIRIKI MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Waziri wa Katiba na Sheria
Mhe,Balozi Dkt Pindi Chana akisalimia na baadhi ya washiriki kabla ya Kuanza
kwa mkutano maalumu wa wa Baraza la Vyama vya Siasa Unaoshirikisha Wadau wa
Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Kujadili Miswada ya Sheria za Uchaguzi na
Sheria za Vyama vya Siasa.
Waziri wa Katiba na Sheria
Mhe,Balozi Dkt Pindi Chana akisalimia na baadhi ya washiriki kabla ya Kuanza
kwa mkutano maalumu wa wa Baraza la Vyama vya Siasa Unaoshirikisha Wadau wa
Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Kujadili Miswada ya Sheria za Uchaguzi na
Sheria za Vyama vya Siasa.
Waziri wa Katiba na Sheria
Mhe,Balozi Dkt Pindi Chana akisalimia na baadhi ya washiriki kabla ya Kuanza
kwa mkutano maalumu wa wa Baraza la Vyama vya Siasa Unaoshirikisha Wadau wa
Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Kujadili Miswada ya Sheria za Uchaguzi na
Sheria za Vyama vya Siasa.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.
Balozi Dkt. Pindi Chana leo tarehe 03 Januari 2024 ameshiriki Mkutano Maalum wa
Baraza la Vyama vya Siasa unaoshirikisha Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi
kujadili Miswada ya Sheria za Uchaguzi na Sheria za Vyama vya Siasa iliyosomwa
kwa mara ya kwanza Bungeni tarehe 10 Novemba, 2023.
Akifungua mkutano huo Mgeni Rasmi
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman amewasihi Wadau na
Washiriki wote kuitumia fursa hiyo vizuri kwa kutoa maoni yenye tija kwa ajili
ya kujenga Taifa na kusema msingi mzuri wa kukubaliana ni mtu kuwa jasiri wa
kusema wazo lake na kusikiliza mawazo ya wengine na kukubali wazo lililo bora
zaidi kwa manufaa ya Taifa.
Comments
Post a Comment