KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA AWASILI NCHINI


 Waziri wa Katiba na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora Mhe.  Haroun Ali Suleiman wakimkaribisha Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola MH. SG Patricia Scotland wakati alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume - Zanzibar. 03 Machi, 2024

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola MH. SG Patricia Scotland (kushoto) akipokea zawadi ya shada la maua wakati alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume - Zanzibar. 03 Machi, 2024

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola MH. SG Patricia Scotland (katikati) akiwa na viongozi waliompokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume - Zanzibar. 03 Machi, 2024. Kushoto kwake ni Waziri wa Katiba na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana na mwisho kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora Mhe.  Haroun Ali Suleiman.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA