KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA AWASILI NCHINI
Waziri wa Katiba na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba
Sheria Utumishi na Utawala Bora Mhe.
Haroun Ali Suleiman wakimkaribisha Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola MH.
SG Patricia Scotland wakati alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid
Amani Karume - Zanzibar. 03 Machi, 2024
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola MH. SG Patricia Scotland (kushoto)
akipokea zawadi ya shada la maua wakati alipowasili Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume - Zanzibar. 03 Machi, 2024
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola MH. SG Patricia Scotland (katikati)
akiwa na viongozi waliompokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani
Karume - Zanzibar. 03 Machi, 2024. Kushoto kwake ni Waziri wa Katiba
na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana na
mwisho kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na
Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman.
Comments
Post a Comment