MAONESHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametembelea Banda la Wizara ya Katiba na Sheria leo tarehe 9 Machi, 2024 kwenye Viwanja vya Mashujaa Jijini Dodoma katika kuadhimisha wiki ya Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Comments
Post a Comment