MAONESHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametembelea Banda la Wizara ya Katiba na Sheria leo tarehe 9 Machi, 2024 kwenye Viwanja vya Mashujaa Jijini Dodoma katika kuadhimisha wiki ya Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA