MAONESHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametembelea Banda la Wizara ya Katiba na Sheria leo tarehe 9 Machi, 2024 kwenye Viwanja vya Mashujaa Jijini Dodoma katika kuadhimisha wiki ya Maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA