MAWAZIRI WA SHERIA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR WAKUTANA NA WAZIRI WA SHERIA NA MWANASHERIA MKUU WA CANADA
Waziri wa Katiba na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,
Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.
Haroun Ali Suleiman wamekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Sheria
na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Canada Mhe. Arif Virani, tarehe 07 Machi, 2024 Zanzibar.
Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Canada Mhe. Arif
Virani (kushoto) akiongea alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Katiba
na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar
Mhe. Haroun Ali Suleiman, tarehe 07 Machi, 2024 Zanzibar.
Comments
Post a Comment