SIKU YA NNE YA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA WA JUMUIYA YA MADOLA


 

Waziri wa Katiba na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Siku ya Nne ya Mkutano, tarehe 07 Machi, 2024 Zanzibar.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.  Haroun Ali Suleiman amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Sheria  wa Uingereza Mhe. Mike Freer, tarehe 07 Machi, 2024 Zanzibar.




Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA