SIKU YA NNE YA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA WA JUMUIYA YA MADOLA
Waziri wa Katiba na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa
Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Siku ya Nne ya Mkutano, tarehe 07 Machi,
2024 Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Sheria wa Uingereza Mhe. Mike Freer, tarehe 07 Machi, 2024 Zanzibar.
Comments
Post a Comment