SIKU YA PILI YA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola siku ya pili ya Mkutano, tarehe 05 Machi, 2024 Zanzibar.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwa na Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola siku ya pili ya Mkutano, tarehe 05 Machi, 2024 Zanzibar.
Comments
Post a Comment