SIKU YA PILI YA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA

 


Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola siku ya pili ya Mkutano, tarehe 05 Machi, 2024 Zanzibar.


Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwa na Mawaziri wa Sheria  wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola siku ya pili ya Mkutano, tarehe 05 Machi, 2024 Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA