SIKU YA TATU YA MKUTANO WA MAWAZIRI WA SHERIA WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA


 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Siku ya Tatu ya Mkutano, tarehe 06 Machi, 2024 Zanzibar.

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo akichangia hoja kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Sheria  wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Siku ya Tatu ya Mkutano, tarehe 06 Machi, 2024 Zanzibar.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola MH. Patricia Scotland KC akiteta jambo na Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana Waziri wa Katiba na Sheria kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Sheria  wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Siku ya Tatu ya Mkutano, tarehe 06 Machi, 2024 Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA