Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza
Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Siku ya Tatu
ya Mkutano, tarehe 06 Machi, 2024 Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo akichangia
hoja kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Sheria
wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Siku ya Tatu ya Mkutano, tarehe 06
Machi, 2024 Zanzibar.Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola MH. Patricia Scotland KC akiteta jambo
na Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana Waziri wa Katiba na Sheria kwenye Mkutano wa Mawaziri
wa Sheria wa Nchi Wanachama wa Jumuiya
ya Madola Siku ya Tatu ya Mkutano, tarehe 06 Machi, 2024 Zanzibar.
Comments
Post a Comment