VIONGOZI WANDAMIZI WA TAASISI ZA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA WAKUTANA ZANZIBAR
Viongozi Wandamizi wa
Taasisi za Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola wakijadili Mpango na Maandalizi
ya Mkutano wa Mawaziri wa Sheria wa Nchi wanachama unaoandaliwa na Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mkutano huo utazinduliwa baadaye leo tarehe 4 Machi, 2024
Zanzibar.
Comments
Post a Comment