RANDAMA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25 YAWASILISHWA BUNGENI
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini
akiwasilisha Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Katiba na
Sheria na Taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2024/25 Bungeni, Aprili 25, 2024
Bungeni Dodoma.
Comments
Post a Comment