WATUMISHI WA WIZARA WAMPONGEZA MTUMISHI MWENZAO KUFUNGA NDOA
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (kulia)
akikabidhi zawadi kwa maharusi Bw. Furaha Lilongele na Bi. Dinah Njovu kwenye sherehe
ya harusi yao Aprili 20, 2024 Jijini Dodoma. Wengine katika picha ni watumishi
wa Wizara waliofika kumpongeza mtumishi mwenzao Bi. Harusi Dinah.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akitoa salaam na nasaha kwa maharusi
Bw. Furaha Lilongele na Bi. Dinah Njovu kwenye ya sherehe ya harusi yao Aprili
20, 2024 Jijini Dodoma. Wengine katika picha ni watumishi wa Wizara waliofika
kumpongeza mtumishi mwenzao Bi. Harusi Dinah.
Naibu
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (mwenye mic), Katibu Mkuu Bi.
Mary Makondo, Viongozi wengine wa Wizara na Watumishi wakimpongeza mtumishi mwenzao
Dinah Njovu wakati wa sherehe ya harusi yake na Bw. Furaha Lilongele, Aprili
20, 2024 Jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment