WAZIRI PINDI AKUTANA NA MENEJIMENTI YA WIZARA
Waziri
wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi
Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao cha Menejimenti ya Wizara kupitia Bajeti ya
Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25 Aprili 27, 2024. Hotuba hiyo itasomwa Bungeni
Jumatatu tarehe 29 Aprili, 2024.
Wajumbe
wa Menejimenti ya Wizara ya Katiba na Sheria wakisikiliza wasilisho la Makisio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa
Mwaka wa Fedha 2024/25 Aprili 27, 2024 ofisi za Wizara Mtumba. Hotuba hiyo
itasomwa Bungeni Jumatatu tarehe 29 Aprili, 2024.
Wajumbe
wa Menejimenti ya Wizara ya Katiba na Sheria wakisikiliza wasilisho la Makisio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa
Mwaka wa Fedha 2024/25 Aprili 27, 2024 ofisi za Wizara Mtumba. Hotuba hiyo
itasomwa Bungeni Jumatatu tarehe 29 Aprili, 2024.
Mkurugenzi wa
Idara ya Sera na Mipango Bw. Mbaraka Stambuli (kulia) wa Wizara ya Katiba na
Sheria akitoa wasilisho la Makisio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/25 Aprili
27, 2024 ofisi za Wizara Mtumba. Bajeti hiyo itasomwa Bungeni tarehe 29 Aprili,
2024.
Comments
Post a Comment