WAZIRI PINDI AKUTANA NA WAKUU WA TAASISI ZA WIZARA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza
kikao na Viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara kupitia maeneo ambayo yanahitaji
ufafanuzi kwenye bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25. Kikao hicho
kimefanyika tarehe 28 Aprili, 2024 ofisi za Wizara Mtumba. Bajeti ya Wizara
itasomwa Bungeni tarehe 29 Aprili, 2024.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao na
Viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara kupitia maeneo ambayo yanahitaji ufafanuzi
kwenye bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25. Kushoto kwake ni Bw. Frank
Kanyusi Kabidhi Wasii Mkuu na Mtendaji Mkuu wa RITA. Aprili 28, 2024 ofisi za Wizara
Mtumba.
Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Patience
Ntwina (kushoto), Mkuu wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo – Law School
of Tanzania Prof. Sist Mramba (kulia) wakati wa kikao cha kupitia maeneo ambayo
yanahitaji ufafanuzi kwenye bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25. Aprili
28, 2024 ofisi za Wizara Mtumba.
Viongozi wengine waliohudhuria kikao cha kupitia maeneo
ambayo yanahitaji ufafanuzi kwenye bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25. Aprili
28, 2024 ofisi za Wizara Mtumba.
Comments
Post a Comment