WAZIRI PINDI AKUTANA NA WAKUU WA TAASISI ZA WIZARA


 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao na Viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara kupitia maeneo ambayo yanahitaji ufafanuzi kwenye bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25. Kikao hicho kimefanyika tarehe 28 Aprili, 2024 ofisi za Wizara Mtumba. Bajeti ya Wizara itasomwa Bungeni tarehe 29 Aprili, 2024.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao na Viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara kupitia maeneo ambayo yanahitaji ufafanuzi kwenye bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25. Kushoto kwake ni Bw. Frank Kanyusi Kabidhi Wasii Mkuu na Mtendaji Mkuu wa RITA. Aprili 28, 2024 ofisi za Wizara Mtumba.

Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Patience Ntwina (kushoto), Mkuu wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo – Law School of Tanzania Prof. Sist Mramba (kulia) wakati wa kikao cha kupitia maeneo ambayo yanahitaji ufafanuzi kwenye bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25. Aprili 28, 2024 ofisi za Wizara Mtumba.

Viongozi wengine waliohudhuria kikao cha kupitia maeneo ambayo yanahitaji ufafanuzi kwenye bajeti ya Wizara ya mwaka wa fedha 2024/25. Aprili 28, 2024 ofisi za Wizara Mtumba.




Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YAIPONGEZA WIZARA KWA UTEKELEZAJI WA MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA