WAZIRI PINDI CHANA AKUTANA NA MENEJIMENTI YA RITA
Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Ndg. Frank Kanyusi Frank
akitoa neno la utangulizi kwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi
Chana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini kabla ya kumkaribisha
Kaimu Meneja wa Mipango Ufuatiliaji na Tathmini Bw. Ernest Mbuna kuwasilisha
Taarifa ya majukumu ya RITA, Aprili 23, 2024 ofisi za Wizara Mtumba.
Kaimu Meneja wa Mipango Ufuatiliaji na Tathmini Bw. Ernest
Mbuna kutoka RITA akiwasilisha Taarifa ya majukumu ya RITA kwa Waziri wa Katiba
na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.
Jumanne Sagini, Aprili 23, 2024 ofisi za Wizara Mtumba.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao ambapo yeye na Naibu
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini walikutana na Menejimenti ya
RITA, Aprili 23, 2024 ofisi za Wizara Mtumba.
Comments
Post a Comment