BONANZA LA KUKATA NA SHOKA LARINDIMA VIWANJA VYA SABASABA NJOMBE


 xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Na Lusajo Mwakabuku – WKS Njombe

Bonanza kali la kukata na shoka limerindima leo katika viwanja vya Sabasaba Njombe mjini ambapo vijana wa Bodaboda wameminyana na vijana wa Bajaji huku Bajaji wakiibuka washindi kwa mikwaju ya penati ya 5 - 4 wakati huohuo Mashabiki wa Yanga wakipambana na mashabiki wa Simba huku mashabiki wa Simba wakiibuka na ushindi wa goli 2-1. Michezo hii ni shamra shamra za kuelekea uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Campaign 26/05/2024 ambapo Mgeni Rasmi ni Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA