CHAMA CHA MSALABA MWEKUNDU TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA 62

 

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongea alipokutana na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mhe. David Kihenzile leo tarehe 10 Mei, 2024 ofisi za Bunge Dodoma.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongea na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mhe. David Kihenzile leo tarehe 10 Mei, 2024 ofisi za Bunge Dodoma.

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mhe. David Kihenzile akifafanua jambo kwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana leo tarehe 10 Mei, 2024 ofisi za Bunge Dodoma.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao alipokutana na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mhe. David Kihenzile leo tarehe 10 Mei, 2024 ofisi za Bunge Dodoma.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Na William Mabusi – WKS Dodoma

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mhe. David Kihenzile leo tarehe 10 Mei, 2024 ofisi za Bunge Dodoma. Kikao hicho kilihusu maandalizi ya Maadhimisho ya miaka 62 ya Chama hicho nchini Tanzania yatakayofanyika Mei 11, 2024 Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA