DKT. CHANA AFANYA KIKAO NA WAZIRI JERRY SLAA

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongea kwenye kikao alichokutana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Slaa na Wataalamu wa Wizara hizo mbili ambapo pamoja na mambo mengine wamejadili kuhusu kufanya mashirikiano ya utatuzi wa kero na migogoro ya ardhi kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, Mei 06, 2024 Ofisi za Bunge Dodoma.


Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao alichokutana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Slaa na Wataalamu wa Wizara hizo mbili, Mei 06, 2024 Ofisi za Bunge Dodoma.

Sehemu ya Wataalamu walioshiriki kikao cha  Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana alipokutana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Slaa, Mei 06, 2024 Ofisi za Bunge Dodoma.

 


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA