DKT. CHANA ATEMBELEA CHUO CHA UANASHERIA KWA VITENDO

 

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana akiongea alipofanya kikao na Uongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, Mei 18, 2024 Jijini Dar es Salaam.

Kaimu Mkuu wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Prof. Sist J. Mramba akiongea kwenye kikao cha Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana na Uongozi wa Taasisi hiyo, Mei 18, 2024 Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao alipokutana na Uongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, Mei 18, 2024 Jijini Dar es Salaam.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana leo Mei 18, 2024 Jijini Dar es Salaaam amefanya kikao na Uongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo  (Law School of Tanzania) ukiongozwa Prof. Sist J. Mramba Kaimu Mkuu wa Taasisi hiyo ili kujadili  kanuni na taratibu mbalimbali za uendeshaji Taasisi na kuona namna ya  kuboresha kanuni hizo ili kukuza ufanisi katika mafunzo ya uanasheria kwa Vitendo.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA