IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALIWATU YAMTEMBELEA NAIBU WAZIRI BUNGENI

 

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongea na Viongozi na Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu walipotembelea ofisi za Bunge Dodoma. Mei 07, 2024.

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Michael Masanja akimkaribisha Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini kuongea na Viongozi na Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu, walipotembelea ofisi za Bunge Dodoma. Mei 07, 2024.

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongoza kikao alipokutana na Viongozi na Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu, ofisi za Bunge Dodoma. Mei 07, 2024.


Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongoza kikao alipokutana na Viongozi na Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu, ofisi za Bunge Dodoma. Mei 07, 2024.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA