KIKUNDI CHA “WANAWAKE NA SAMIA” CHAMTEMBELEA PINDI CHANA BUNGENI


                                        

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amekutana na kikundi cha “Wanawake na Samia” kutoka Chamwino Mkoani Dodoma waliomtembelea Bungeni kwa ajili ya kujifunza shughuli za Bunge, Mei 07, 2024.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA