SAGINI AKUTANA NA IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALIWATU

 

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongea alipokutana na kufanya mazungumzo na Viongozi na Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu kwa lengo kufahamiana na Watumishi, kujua majukumu yao, mafanikio na changamoto kwenye utekelezaji wa kazi zao. Mei 06, 2024 Mtumba.

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Michael Masanja (kulia) pamoja na viongozi wengine wakimsikiliza Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini alipokutana na kufanya mazungumzo na Viongozi na Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu, Mei 06, 2024 Mtumba.


Baadhi ya watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini alipokutana na kufanya mazungumzo na Viongozi na Watumishi wa Idara hiyo, Mei 06, 2024 Mtumba.

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi na Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu kwa lengo kufahamiana na Watumishi, kujua majukumu yao, mafanikio na changamoto kwenye utekelezaji wa kazi zao. Tarehe 06 Mei, 2024 Mtumba.



Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA