SAGINI AKUTANA NA MKURUGENZI WA BENKI YA DUNIA TANZANIA
Naibu Waziri wa Katiba na
Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongea kwenye kikao alichoongoza kati ya Wizara,
Taasisi zake na Benki ya Dunia kupitia
na kujadili mapendekezo ya mageuzi kwenye sekta ya sheria. Mei 22, 2024 Dar es
Salaam.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (kulia) na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia Tanzania Nathan Belete kwenye kikao kati ya Wizara, Taasisi zake na Benki ya Dunia kupitia na kujadili mapendekezo ya mageuzi kwenye sekta ya sheria. Mei 22, 2024 Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongoza kikao kati ya Wizara, Taasisi zake na Benki ya Dunia kupitia na kujadili mapendekezo ya mageuzi kwenye sekta ya sheria. Mei 22, 2024 Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Katiba na
Sheria Mhe. Jumanne Sagini (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia
Tanzania Bw. Nathan Belete wakati wa kikao kati ya Wizara, Taasisi
zake na Benki ya Dunia kupitia na
kujadili mapendekezo ya mageuzi kwenye sekta ya sheria. Mei 22, 2024 Dar es
Salaam.
Comments
Post a Comment