SAGINI AKUTANA NA WATUMISHI WA IDARA YA HUDUMA ZA KISHERIA

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akizungumza na Watumishi wa Idara ya Huduma za Kisheria (hawapo pichani)  wakati alipokutana na Watumishi  hao kujadili kuhusu utendaji kazi wa idara hiyo. Kikao hicho kimefanyika Mei 14, 2024  katika ukumbi wa Wizara Mtumba jijini Dodoma.

Watumishi wa Idara ya Huduma za Kisheria kwa Umma   wakimsikiliza Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini wakati alipokutana nao katika kikao cha kujadili utendaji kazi wa idara hiyo katika ukumbi wa Wizara Mtumba jijini Dodoma Mei 14, 2024.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA