SAGINI AKUTANA NA WATUMISHI WA KITENGO CHA UHASIBU

 

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongea alipokutana na kufanya mazungumzo na Watumishi wa KItengo cha Uhasibu kwa lengo la kufahamiana na Watumishi, kujua majukumu yao, mafanikio na changamoto kwenye utekelezaji wa kazi zao. Mei 09, 2024 Mtumba.


Mhasibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria CPA Meshack Mwakyambiki (kushoto) akimsikiliza Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini alipofanya kikao na Watumishi wa Kitengo cha Uhasibu. Mei 09, 2024 Mtumba.


Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiongoza kikao alipokutana na Watumishi wa Kitengo cha Uhasibu kwa lengo la kufahamiana na Watumishi, kujua majukumu yao, mafanikio na changamoto kwenye utekelezaji wa kazi zao. Mei 09, 2024 Mtumba.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA