SAGINI AKUTANA NA WATUMISHI WA VITENGO VYA TEHAMA NA MAWASILIANO SERIKALINI

 



Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini amekutana na kufanya mazungumzo na Watumishi wa Vitengo vya TEHAMA na Mawasiliano Serikalini kwa lengo la kujua majukumu yao, utekelezaji wa majukumu yao na changamoto katika kutimiza kazi zao. Katika kikao hicho ambacho kilikuwa cha mwisho katika utaratibu aliokuwa amejiwekea kukutana na Idara na Vitengo ili kujua shughuli za Wizara amesisitiza ushirikiano, umoja na mawasiliano mazuri kati ya watumishi na Viongozi wao. Mei 16, 2024 Mtumba.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA