WANAFUNZI WA CHUO CHA UALIMU DARMIKI WAFANYA ZIARA BUNGENI

 

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini kwenye picha ya pamoja na Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Darmiki kilichopo Area A Jijini Dodoma walipotembelea Bunge kwa ziara ya mafunzo wakiwa wageni wake, Mei 24, 2024 Bungeni Dodoma.

Sehemu ya Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Darmiki kilichopo Area A Jijini Dodoma walipotembelea Bunge kwa ziara ya mafunzo wakiwa wageni wa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini, Mei 24, 2024 Bungeni Dodoma.

Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Darmiki kilichopo Area A Jijini Dodoma pamoja na wageni wengine wakipatiwa elimu kuhusu shughuli za Bunge walipotembelea Bunge kwa ziara ya mafunzo wakiwa wageni wa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini, Mei 24, 2024 Bungeni Dodoma.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA