WANAFUNZI WAFANYA MJADALA JUU YA MSAADA WA KISHERIA

 


xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Na Lusajo Mwakabuku – WKS Njombe

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mbeyela iliyopo Mkoani Njombe Mjini leo 24 Mei, 2024 wameonesha umahiri wao katika kudadavua masuala mbalimbali walipokuwa wakifanya mjadala juu ya msaada wa kisheria huku mada ikisema "Je jamii inafahamu juu ya Msaada wa Kisheria?" Mjadala huu umeandaliwa na Timu ya Msaada wa kisheria kutoka katika Kampeni ya Msaada wa Kisheria inayokusudiwa kuzinduliwa siku ya Jumapili tarehe 26 Mei, 2024 katika viwanja vya Stendi ya Zamani Njombe mjini.





Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA