WAZIRI PINDI CHANA AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI CHRAGG


 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongea alipokutana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Patience Ntwina kuhusu utendaji kazi wa Tume hiyo hususan taarifa za mwaka za Tume hiyo, Mei 14, 2024 ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao alipokutana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Patience Ntwina (kushoto) kuhusu utendaji kazi wa Tume hiyo, Mei 14, 2024 ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini.


Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Patience Ntwina akitoa maelezo ya utendaji kazi wa Tume hiyo, Mei 14, 2024 ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao alipokutana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Patience Ntwina kuhusu utendaji kazi wa Tume hiyo, Mei 14, 2024 ofisi za Bunge Jijini Dodoma.



Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

UONGOZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU YAKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA

BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA