RAIS TLS AISHAURI WIZARA KUJIKITA KWENYE MAGEUZI YA HAKI JINAI
Mtaalam Mshauri wa mradi wa Programu ya Kujenga Uwezo wa Taasisi katika Kupambana na Rushwa Nchini – BSAAT na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Harlod Sungusia akitoa mada ya utekelezaji wa Mradi wa BSAAT na Upimaji Matokeo ya Mradi huo. Juni 29, 2024 mjini Morogoro. Kikao Kazi cha kufanya Tathmini ya mradi wa BSAAT kwa kazi zilizofanywa mwaka 2023/24 na kuandaa Mpango Kazi wa mradi kwa mwaka 2024/25. Juni 29, 2024 mjini Morogoro. Bw. Oswin Mkinga mmoja wa washiriki wa Kikao Kazi cha kufanya Tathmini ya mradi wa BSAAT kwa kazi zilizofanywa mwaka 2023/24 na kuandaa Mpango Kazi wa mradi kwa mwaka 2024/25 akichangia hoja. Juni 29, 2024 mjini Morogoro. Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Beatrice Mpembo akifafanua jambo kwenye Kikao Kazi cha kuandaa Andiko la Kuanzisha Mfuko wa Kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu na Mashahidi. Juni 29, 2024 mjini Morogoro. Sehemu ya washiriki kwenye Kikao Kazi cha k...