KIKAO KAZI KUANDAA ANDIKO LA KUANZISHA MFUKO WA KUWALINDA WATOA TAARIFA

 

Sehemu ya washiriki kwenye Kikao Kazi cha kuandaa tathmini ya mradi wa BSAAT kwa kazi zilizofanywa mwaka wa fedha 2023/24 kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Kikao Kazi cha kuandaa Andiko la Kuanzisha Mfuko wa Kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu na Mashahidi, Julai 02, 2024  mjini Morogoro.

Sehemu ya washiriki kwenye Kikao Kazi cha kuandaa tathmini ya mradi wa BSAAT kwa kazi zilizofanywa mwaka wa fedha 2023/24, Julai 02, 2024  mjini Morogoro. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Beatrice Mpembo.

Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA