KIKAO KAZI KUANDAA TAARIFA YA TATHMINI YA MRADI WA BSAAT

 

Mkurugenzi Msaidizi Ufuatiliaji na Tathmini Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Emmanuel Mayeji akifafanua jambo kwenye kazi ya kuandaa taarifa ya tathmini ya mradi wa BSAAT kwa kazi zilizofanywa mwaka wa fedha 2023/24, Juni 30, 2024 mjini Morogoro.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Beatrice Mpembo akijadili jambo kwenye kazi ya kuandaa taarifa ya tathmini ya mradi wa BSAAT kwa kazi zilizofanywa mwaka wa fedha 2023/24, Julai 01, 2024  mjini Morogoro.

Bw. Lawrence Kabigi kutoka Wizara ya Katiba na Sheria akifafanua jambo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango Bw. Mbaraka Stambuli kuhusu kazi inayoendelea ya kuandaa Andiko la Kuanzisha Mfuko wa Kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu na Mashahidi, Julai 01, 2024 mjini Morogoro.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA