WATUMISHI WAPATA MFUNZO YA USIMAMIZI WA VIHATARISHI "RISK MANAGEMENT"

 

Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiendelea na mafunzo ya Usimamizi wa Vihatarishi "Risk Management," Julai 18, 2024 Ofisi za Wizara Mtumba, Dodoma. Mafunzo hayo yanaendeshwa na Bi. Adolphina Lugendo kutoka Wizara ya Fedha.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA