WAZIRI DKT. PINDI CHANA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA SWITZERLAND

 

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Switzerland aliyemaliza muda wake nchini Tanzania Bw. Didier Chasot. Julai 22, 2024 Dar es Salaam.

Balozi wa Switzerland aliyemaliza muda wake nchini Tanzania Bw. Didier Chasot akifanya mazungumzo na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana. Julai 22, 2024 Dar es Salaam.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana na Balozi wa Switzerland aliyemaliza muda wake nchini Tanzania Bw. Didier Chasot kwenye picha ya pamoja na baadhi ya maofisa kutoka ofisi hizo mbili baada ya kufanya mazungumzo. Julai 22, 2024 Dar es Salaam.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana leo Julai 22, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Switzerland nchini Tanzania aliyemaliza muda wake Bw. Didier Chasot.

Kikao hicho kilichofanyika Jijini Dar es Salaam, kililenga kujadili namna ya kuendeleza  mashirikiano katika kulinda haki za binadamu hususan katika masuala ya uimarishaji wa utajiri asili na maliasilia za nchi, kuendeleza na kulinda haki za binadamu na mapitio ya mfumo wa haki za binadamu.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA