KABUDI AFANYA KIKAO NA WAKURUGENZI NA MAOFISA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof.Palamagamba
Kabudi (Mb) Agosti 26, 2024 amekutana na kufanya kikao na baadhi ya Wakurugenzi
na Maofisa kutoka Wizara ya Katiba na Sheria ikiwa ni sehemu ya
maandalizi ya kikao cha kwanza cha Mkutano wa 16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
kinachotarajiwa kuanza Agosti 27, Bungeni jijini Dodoma.
Comments
Post a Comment