KATIBA NA SHERIA NA UONGOZI WA TLS WAKUBALIANA KUSHIRIKIANA
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akiongea katika kikao na Baraza la Uongozi la Chama cha Mawakili wa Tanzania (TLS) Mtumba Dodoma katika Ofisi za Wizara ya Katiba na Sheria 17/09/2024. Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Eliakim Maswi akiongoza majadiliano ya wataalam baina na Menejimenti ya Wizara na Uongozi wa TLS kabla ya kumkaribisha Waziri wa Katiba na Sheria. 17/09/2024. Rais wa TLS Bw. Boniface Mwabukusi akielezea kufurahishwa kwake na mapokezi tangu walipowasili Wizara ya Katiba kabla ya kuanza kuelezea hoja za ushirikiano. 17/09/2024. Baadhi ya viongozi kutoka Baraza la Uongozi la Chama cha Mawakili wa Tanzania (TLS) wakifuatilia majadiliano katika kikao hicho. 17/09/2024. Menejimenti ya Wizara na Uongozi wa TLS waliohudhuria katika kikao hicho wakifuatilia majadiliano. 17/09/2024. Waziri wa Katiba na Sheria, Menejimenti ya Wizara na Uongozi wa TLS wakiwa katika picha ya pamoja. 17/09/2024. xxxxxxxxxxxxxxxxx Na Lusajo Mwakabuku & Hyasi