KABUDI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA MKUTANO WA AALCO THAILAND.
Waziri wa Katiba na Sheria
Mhe. Prof. Palamagamba J. A. Kabudi aongoza ujumbe kutoka Tanzania nchini
Thailand kushiriki Mkutano Mkuu wa 62 wa Shirika la Mashauriano ya Kisheria wa
Kimataifa wa Nchi za Asia na Afrika (AALCO). Septemba 11, 2024
Thailand.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Waziri wa Katiba na Sheria
Mhe. Prof. Palamagamba J. A. Kabudi, Septemba 11, 2024 amekutana na kufanya
mazungumzo na Mhe. Polcol Tawee Sodsong, Waziri wa Sheria wa Thailand ambapo
pamoja na mambo mengine wamezungumzia maeneo ya ushirikiano hususan kuwa na
programu za mafunzo na kubadilishana uzoefu katika masuala ya sheria za
uwekezaji na sekta ya sheria kwa ujumla.
Waziri Kabudi anaongoza ujumbe
kutoka Tanzania nchini Thailand unaoshiriki Mkutano Mkuu wa 62 wa Shirika la
Mashauriano ya Kisheria wa Kimataifa wa Nchi za Asia na Afrika (AALCO).
Comments
Post a Comment