WIZARA YATOA MOTISHA

 

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akikabidhi kiasi cha shilingi milioni sita kwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe. Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Wizara Bw. Eliakim Maswi wakati alipotembelea makao makuu ya Tume ikiwa ni sehemu ya motisha kwa ajili ya Watumishi wawili waliofanya kazi katika Tume kwa zaidi ya miaka thelathini. 15 Oktoba, 2024 Ofisi za Wizara Mtumba jijini Dodoma.


Comments

Popular posts from this blog

USAJILI WA VIZAZI NA VIFO NI TAKWA LA KISHERIA

TUFANYE KAZI KWA UADILIFU NA USHIRIKIANO - MHE CHANA