TUMIENI SAMIA LEGAL AID KUTOA HAKI - RC MTANDA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.
Said Mtanda akikagua banda la Wizara ya Katiba na Sheria alipowasili katika
viwanja vya Furahisha kabla ya Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya
Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) Februari 18, 2025.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala
na Rasilimali watu Bw. Alfred Dede akitoa salamu za Wizara kwa Niaba ya Katibu
Mkuu wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama
Samia Legal Aid Campaign) Februari 18, 2025 Jijini Mwanza.
Wananchi wa Mkoa wa Mwanza
wakiwa katika maandamano kuelekea katika
Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza ikiwa ni Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa
Kisheria ya Mama Samia Legal Aid tarehe
18 Februari, 2025 katika Viwanja vya
Furahisha, jijini Mwanza.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.
Said Mtanda amewasihi viongozi wa Mkoa huo kuendelea kutoa haki kwa wananchi
bila upendeleo ili kuwaletea wananchi hao Maendeleo.
Mhe. Mtanda amesema hayo
Februari 18, 2025 Jijini Mwanza wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa
Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign).
Kampeni hiyo itakuwepo Jijini
Mwanza kwa siku 9 baada ya Uzinduzi ambapo Jopo la wataalamu wa sheria kutoka
Wizara ya Katiba na Sheria litakua likitoa huduma hiyo katika Halmashauri zote
za Jiji la Mwanza.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala
na Rasilimali watu Bw. Alfred Dede akitoa salamu za Wizara kwa Niaba ya Katibu
Mkuu wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama
Samia Legal Aid Campaign) Februari 18, 2025 Jijini Mwanza.
Comments
Post a Comment